Niko hapa kuondoa hofu ya mwanafuzi, kuweza kumpa ujasiri ulio sawa sawa na kama mtu anaye ongea kiswahili kama lugha yake asili. Kila mtu anauwezo wa kujifunza lugha mpya, ila inaanza kwenye akili. Ndio mimi ninaweza kungea kiswahili tayari lakini nilibidii ni jifunze kuongea kingereza. Kwahiyo nina jua safari mwanafunzi anayo pitia ili kuweza kujifunza lugha.
Mimi ni mwalimu mwenye uvumilivu sana, kwamba ninajua kwamba sio kila mwanafunzi uelewa wake ni sawa. Ninapenda kumuelewa kila mwanafunzi kama alivyo. Ninawakaribisha wanafunzi wa aina zote, kama wanao anza, wanaoweza kuongea tayari lakini wanaogopa au wana hofu, na pia ambao wana jitaharisha kwa ajili ya mtihani.
Ninafundisha ili kuwawezesha wengine kuongea Kiswahili kama mimi. Ninapenda Mwanafunzi ambaye ana hamu ya kusoma na ambaye sio muoga kukosea na kuonyesha mapungufu yake, lakini pia mwanafinzi amabaye hato ogopa kujifunza vitu vipya na kuvifanyia kazi. Ninapenda mwafunza atakaye fanya sehemu yake vizuri na mimi nitafanya yangu ili tuweza kufurahia hii safari ya kufundishana.